Katika matangazo ya leo nikwamba, serikali ya Congo DRC yaomba wapiganaji wazalendo kusitisha mapigano inayo lenga kushambulia ngome za waasi wa M23 mashariki mwa Congo.hayo na mengine mengi ungana na MTV ONLINE
APRILI 15, 2025
| Tryphone Odace
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio