Tanzania
Usitishwaji vita waamuliwa na Rais wa Congo DRC Felix Tshisekedi nae Paul Kagame wa Rwanda baada ya mkutano wao ulio fanyika Doha Quatar hii juma tatu kumi na nane elfu mbili ishirini na tano
Baada ya Rais wa Congo Felix Tshiskedi na Paul Kagame wa Rwanda kukutana Doha Quatar kukutana, hii juma tatu elfu mbili ishirini na tano, hatua ya usitishwaji mapigano yachukuliwa. Viongozi hao wamekubali kurudi katika mazungumuzo ya Angalo na mchakato wa mazungumuzo ya Nairobi kwenye kwani haina maana yoyote mzozo kuendelea kati ya mataifa mawili Jirani.