DRC/Manguredjipa/Lubero
Watu wenye silaha wanaodhaniwa kuwa ADF washambulia vijiji vitatu kaskazini mwa Manguredjipa, Lubero – mauaji ya raia yaendelea
Mashambaulizi haya mabaya yameripotiwa hii alhamisi octoba thelathisini elfu mbili ishirini na tano ,wapiganaji kutoka kundi la kigaidi la ADF ,walishambulia wakulima katika mashamba ya malewe,pethema na pangoy eneo la uchimbaji madini muhimu kwa ajili ya kusaidia wakaazi na kulazimisha watu kukimbia kwa mara nyingine japo eneo hilo lilipokea maelefu ya watu kutoka katika vijiji mbali mbali wakiogopa mauaji katika secta ya bapere ambayo kwa sasa yaandamwa na mauaji kila siku